Jumapili, 5 Machi 2017

NDOA MURUA
Naam, karibuni ndugu katika blog yetu. Ili kupata mafunzo mbal mbal ya kuweka ndoa zetu murua na maridhawa kabisa. Bila kusahau mafunzo mbal mbal ya kutatua migogoro na migongano baina ya wanandoa. Pia blog yetu itakupa habar mbal mbal  za mahusiano katika ndoa  na yaliyomo  kwa kina kabisa. Hii ni fusrsa pekee ya mwanandoa kuweka ndoa yako murua kabisa na kufurahia ndoa yenu wewe na mwenza wako. Yote hayo usikose kutembelea blog yetu.
Ndoamurua.blogspot.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni