Jumapili, 5 Machi 2017

๐ŸŒปMANENO YA HEKMA๐ŸŒป
wamesema watu wenye hekma
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ Huwezi kupata kichache katika unavyovipenda isipokuwa kwa kusubiria na kuvulimia juu ya mambo mengi unayoyachukia*
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ mwenye kuwa na yaqiini (imani sahihi) kuwa atalipwa kutokana na matendo yake basi hawezi kufanya jambo baya.
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ HAKUNA KITU CHENYE KUIONDOSHA NEEMA KWA HARAKA KULIKO DHULMA*
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ mwenye kudhani kuwa masiku yatamuweka salama basi ni mpungufu wa akili na aliyejishughulisha na kukusanya mali basi nimwenye kuhuzunika na mwenye kudanganyika na sifa za watu basi ni mtu aliefitinika
FIKIRIA KWA MAKINI HEKMA HIZO HUENDA UKAPATA KITU


by dr.shamata

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni